0

 Barcelona imefanikiwa kuibuka na ushindi katika mechi yao ya kwanza ya robo fainali ya Copa del Rey.

Shujaa wao ni Lionel Messiambaye alifunga bao katika dakika ya 85.

Mechi hiyo ilikuwa ngumu kutokana na wageni Atletico Madrid kuonyesha wamepania kusonga mbele.
Atletico inayoongozwa na Fernando Torres imefikia hatua ya robo fainali baada ya kuing’oa Real Madrid.
Mechi ya pili mjini Madrid ndiyo itakayoamua nani amesonga mbele kati ya Barcelona au Atletico.

Post a Comment

AddThis

 
Top