0
Arsenal imelala kwa mabao 3-1 dhidi ya AS Monaco ya Ufaransa katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Kocha Arsene Wenger amekuwa akilaumiwa kwa ubahili, akilaumiwa kwa kutumia wachezaji vijana, lakini katika mechi hiyo alipanga mziki.
Lilikuwa ni lundo la wachezaji wazoefu ambao walishindwa na wachezaji makinda wa Monaco.
Kikosi cha Monaco kilianza bila ya wachezaji wake watano wa kikosi cha kwanza waliolazimika kukaa nje kwa sababu mbalimbali.

Sasa Wenger afanayeje? Sasa Wenger kweli anapaswa kulaumiwa? Ndiyo maana alibaki kama mtu asiyejitambua wakati mechi inaendelea na hata baada ya kwisha walipofungwa bao la tatu katika dakika za nyongeza. Watamuua huyu mzee! hehe, Arsenal bana.

Post a Comment

AddThis

 
Top