0
PAMOJA NA KUWA BARCELONA WAMEIBUKA NA USHINDI WA MABAO 3-1 KATIKA COPA DEL REL DHIDI YA ATLETICO MADRID, MCHEZAJI AMBAYE HATASAHAU ADHA YA VIATU VYA WACHEZAJI WA ATLETICO NI NEYMAR.

WAKATI FULANI ALILAZIMIKA KUTOLEWA NJE BAADA YA KUTANDIKWA KIATU HADI DAMU ZIKAJAA KWENYE SOKSI YAKE. ANGALIA MWENYEWE...!!!
Barcelona (4-3-3): Bravo; Alves, Pique, Mascherano, Alba; Iniesta, Busquets, Rakitic (Rafinha); Neymar, Messi, Suarez (Pedro).
Subs not used: Stegen, Bartra, Roberto, Adriano, Munir
Booked: Suarez, Messi. Mascherano
Scorer: Neymar 12', Suarez 35', Messi 87'

Atletico Madrid (4-2-3-1): Moya; Juanfran, Godin, Gimenez, Gamez (Siqueira); Gabi (Torres), Tiago; Koke, Griezmann (Garcia), Arda, Mandzukic.
Subs not used: Suarez, Oblak, Niguez, Miranda.
Booked: Gamez, Mandzukic, Juanfran, Tiago, Griezmann, Godin
Scorer: Mandzukic (pen) 57'










Post a Comment

AddThis

 
Top