0



Baada ya Wapambe wa JB MPIANA kumpachika KOFFI ILOMIDE jina la MZEE EBOLA,
Msemaji mkuu wa KOFFI CENTRAL ” RONSARD NGOMA ” kaja juu na kumpakazia JB MPIANA kanakwamba kaambukizwa  Virusi vya Ukimwi.kapewa magonjwa hayo na Mmoja wawanenguaji wake ambae kwa leo hii ni Marehemu… KAMPACHIKA JINA LA PAPA SIDA / BABA UKIMWI

Kasema niukosefu wa akili kumlinganisha KOFFI OLOMIDE na JB MPIANA, wakati Mopao Mokonzi yuko juu shuleni, kajulikana na wote kama Mwanafunzi Star wa congo anaefahamika na wengi, JB MPIANA alikua mbumbumbu shuleni, alikua kategemea wenzie akina BLAISE BULA iliapate kufaulu kwenye Mitihani Shuleni.

( JB MPIANA yasemekana kamkataza KOFFI OLOMIDE akome kumtumia MKEWE AMIDA MESSAGE ZA SMS, jambo ambalo KOFFI OLOMIDE kalikanusha vikali sana ).

Msemaji huyo wa KOFFI OLOMIDE, kasema : Pesa zilizo tumiwa na MKE wa JB MPIANA kwa ajili ya SHEREHE YA BINTIE DAIDA, kapewa na hawara wake ambae anajulikana na JIJI nzima la KINSHASA kwa jina la ” MAURICE NGUESSO.Hata zawadi ya gari kapewa na MAURICE NGUESSO.

JB MPIANA kazitoa pesa wapi hadi afikie kumnunulia Bintie Gari la Bei ghali Dola laki moja ( 100.000 USD ) kazitoa wapi ? Wala Hana uwezo wowote wakumkopesha pesa KOFFI OLOMIDE.

JB MPIANA mbona anachuki na watu? kwanini asifwatilie mwenendo wa bintie DAIDA, Malaya mkubwa anatembea ovyo na akina FALLY na FERRE GOLA,  Taarifa hizo tunazo!!! Vijana hao wanamtatiza vibaya sana DAIDA.

Tahadhari kubwa kwa JB MPIANA, asimchukulie KOFFI OLOMIDE kama DIDI KINUANI, MKE wa KOFFI ni Mama na heshima zake, wapi ukamsikia kaenda Inje ya ndoa yake? chuki zake azipeleke kwengine, hasa kwa MAURICE NGUESSO na DIDI KINUANI.   Kwanini kayapeleka mashambulizi yake kwa KOFFI MTU asie muingilia kwenye maisha yake?

Watu wa JB MPIANA wanaongelea mambo yauongo, wakati mimi nanena yale yalio naushahidi, Nenda kwenye Avenue UGANDA, ulizia ni wapi anapoishi MAURICE NGUESSO utapelekwa moja kwa moja.ninao uhakika utamkuta Mke wa JB MPIANA yuko huko akikaa kitako. Mimi nakutaarifu kuhusiana na swala fulani, sasa kazi ni kwako wewe kama mtangazaji kuchunguza kama Habari hizo ni zakweli au laa…

JB MPIANA kasema MOPAO kamuonea Wivu, sasa huo wivu watokana nanini? KOFFI kawa MUAFRICA wa kwanza kufanya SHOO kabambe kwenye ukumbi wa BERCY, JB MPIANA SHOO yake ya BERCY walikuwepo Watu elfu tatu pekee walio udhuria…na hapo katoa lawama eti KOFFI ndo kawakataza Watu wasijitokeze !!! SHOO yake ya ZENITH ilipozuiliwa na wa COMBATTANTS JIJINI PARIS, kalalamika eti KOFFI OLOMIDE ndo kawalipa wa COMBATTANTS wafanye juu chini SHOO hiyo isiwepo.

Naomba Samahani Nduguzanguni,ntashindwa kabisa kuwaambia kanakwamba JB MPIANA kakumbwa na Ugonjwa wa UKIMWI, Siku Chache zilizo pita sote tulishuhudia pale alipofariki Hawara yake, Dada yule ambae alikua Mnenguaji wake,na Wote tunajua ni Ugonjwa gani uliompeleka kaburini. JB MPIANA kachanganyikiwa,alitaka hadi kujiua!!!     Kama si KOFFI OLOMIDE aliemliwaza nani mwengine?
Hao Jamaa akina ROGER NGANDU na MOSAKA, kila siku wanaenda kumlilia LE GRAND MOPAO awape pesa, asbuhi wako kwenye TV wakimkashifu, Jioni wanaenda kumfukamia awasamehe !!!

Ukimwi ni ugonjwa mbaya sana, Utamuona Mtu kavimba hasa maeneo ya Tumbo,Kama Mkewe Mama watoto kila siku kakukimbia,jua hapo kunatatizo, MKEWE keshakua Malaya, unamleta nyumbani kwako unamaliza kazi, Mpe hela  aondoke zake…

JB MPIANA kwani ni Msanii gani huyo? basi atuonyeshe Tuzo hata mmoja ya kimataifa ilitupate kumkubali!!! PAPA SIDA HUYO!!!

KESHO TUTAWAWEKEA JIBU LA WAPAMBE WA JB MPIANA ( ROGER NGANDU na MOSAKA ) WAO WANATOA SHUKRANI ZAO KWA NYOKA LONGO KWA KITENDO ALICHO KIFANYA CHA KUTEMBEA KIMAPENZI NA MAMA YAKE YA KOFFI OLOMIDE.

Post a Comment

AddThis

 
Top