0

Mokili nga na ya ba ndeko na kuti makambo lelo nga na ko yemba ngo /MAMBO NILIYO YAKUTA DUNIANI NI MAKUBWA JAMANI,NA LEO HII NAAMUA KUYAONGELEA KUPITIA WIMBO


Mobembo nga na ya na mokili na moni makambo yango nga na ko yemba ngo /SAFARI YANGU YA  HAPA DUNIANI,NIMEYAONA MENGI,NI KWAMAANA HIYO  NAAMUA KUYATUNGIA WIMBO

Na nzela ya mokili to yaka mboka mboka moto na libongo na ye a ko kiteee / TUNAPO KUJA DUNIANI,HUA TUNATOKEA MAHALA TOFAUTI,NA KILA MMOJA WETU HUFIKIA KWENYE BANDARI YAKE!!!

To botama na mokili moto na ngonga na yé / UJIO WETU KWA HAPA DUNIANI KILA MMOJA HUZALIWA KWA SIKU YAKE NA WAKATI WAKE KAMILI
Moto na chance na yé na elongui na yée  / KILA MTU HUJA NA UMBO LAKE, PIA NA BAHATI YAKE

To yaka na mokili to zali nde ba paya mabélé yango nde eko yambaka biso / KWA HAPA DUNIANI SISI NIWAGENI TUU, UDONGO NDO HUA UNATUKARIBISHA
Mabélé ooh ooh mabélé to ko buakelaka soyi e / UDONGO OOH NDO HUO UDONGO AMBAO HUA TUNAUTEMEA MATE

Mabélé ooh yeh mabélé eko bombaka bosoto na biso / UDONGO OOH,UDONGO NDO HUO AMBAO HUA TUNAUTUMIA KAMA DAMPO
Mabélé ooh ooh yeh mabélé eko boyaka ebembe tè / UDONGO OOH , KAMWE UDONGO HAUMKATAI MAITI

Mabélé ooh patrick mangassa ba ko kounda yo na banda se esika moko /UDONGO OOH,PATRICK MANGASA, WEWE NA MPINZANI WAKO NYOTE MTAZIKWA SEHEMU MOJA
Mabélé ooh ooh na cimetière to ko salaka zua tè  / UDONGO OOH , WALA HUKO MAKABURINI HAKUNAGA NA MASWALA YA WIVU

Mabélé ooh ooh yeh soki ba koundi molongani pembeni ya mbanda / UDONGO OOH YEH, YAWEZA IKATOKEA  MPENZI WAKO KAZIKWA KANDOKANDO NA MKEMWENZA WAKO.

Mabélé ooh ooh mabélé to ko niataka ya ngo nde eko koundaka biso pepe hein / UNDONGO OOH, HUO UDONGO TUNAO UKANYAGA BASI NDIO HUO UTAKAO TUPOKEA PEPE HEIN

Mokolo to ko balanaka na ndako ya nzambe liboso ya ko benisa biso sango a lobaka boyé / TULIPO FUNGA NDOA KANISANI,KABLA YA KUBARIKIWA ,PADRE KATAMKA MANENO HAYA
Bo balani pour le meilleur et pour le pire bo sangisi nzoto bokomi moto moko / MNAPO FUNGA NDOA, PANAKUA NA UPATANISHO KATI YENU NA MNAKUA MWILI MMOJA, BASI KUBALINI YATAKAYO JITOKEZA YA KHERI AU YA SHIDA

Kasi mokolo ya liwa nini to ko monoka menuisier a ko sala sanduku se ya moto moko / SASA LINI UKAMUONA FUNDI SEREMALA KATENGENEZA SANDUKU MOJA KWA AJILI YA KUWAZIKA WATU WAWILI!!!


Ba ko kunda moko, moko a ko tikala / YULE ALIEFARIKI ATAZIKWA, NA ALIE BADO HAI HATOINGIA KABURINI

Ata a leli lekola a kufa kasi a ko linga te ba kunda se sanduku moko na molongani nayé / ANAWEZA KULIA KAMA MTU ATAKAE FARIKI LEO, ILA HAWEZI AKAKUBALI KUWEKWA KWENYE SANDUKU MMOJA NA MAREHEMU

Trahison ooh abbé jacque  / USALITI OOH PADRE JACQUES
Wapi libala sango o lobaka / WAPI ILIPO NDOA ULIO ZUNGUMZIA!!!
Trahison ooh yeh bo balani pour le meilleur et pour le pire / USALITI OOH,MLIFUNGA NDOA,MKAKUBALIANA KUKUMBANA NA YALE YATAKAYO JITOKEZA,YAWE MEMA AU MABAYA

Trahison ooh abbé mulumba pour le meilleur pour le pire / USALITI OOH,PADRE MULUMBA, KWA MEMA KAMA VILE KWA MABAYA

Trahison oh tite tchima / USALITI OH TITE TCHIMA ( JINA LA MTU )
Trahison oh sebene / USALITI OH SEBENE

Kasi na ndako ya nzambé ba ko tunaka mi tuna té sima ya losambo messe esili To ko bimaka se na liloba moko biso nioso ameeen /TUWEPO KWENYE SALA KANISANI,HUA HATURUHUSIWI KUULIZA MASWALI,NA PINDI TUNAPO MALIZA SALA,SOTE HUA NA NENO MMOJA MDOMONI : AMINAAA

Guy mayalase oh yeh / GUY MAYOLASE OH YEH
Liwa lekola tango to ko botamaka / MFANO WA KIFO WALINGANA NA ULE WA KUZALIWA
Mimie illumbé eh yeh / MIMIE ILUMBE EH YEH
Moto na mokolo na yé na ngonga na yé / KILA MMOJA NA SIKU YAKE, NA WAKATI WAKE KAMILI

Koko ngoma eeh yeh libala se tango to zali na bomoyi / KOKO NGOMA EEH YEH, NDOA NI NZURI WAKATI WAWILI WAPENDANAO WAKATI BADO WAPO HAI
Vamos eh yeh ba veuve pe bazali na droit ya la vie / VAMOS EH YEH, WANAWAKE WAJANE NAO PIA WANAYO HAKI YA KUISHI

Eloko oyo bolingo eloko mabé E ko komisaka moko nde zoba / PENZI NI KITU MBAYA SANA, HUMFANYA MTU AWE KAMA MJINGA
E ko tika bi teni nioso ya nzoto / HUZIACHA SEHEMU NYINGINE ZOTE ZA MWILI
E ko pona motema e ko niokolo yango / NA KWENDA KUUCHAGUA MOYO KWA MADHUMUNI YA KUUTESA

E ko mema yo ba nzela yo o yebi té / UTAPELEKWA MAENEO USIO YAJUA
E ko mema yo ti na frontière ya mboka oyo o yebi kombo té oh /UTABEBWA NA KUPELEKWA KWENYE MIPAKA YA INCHI USIO IJUA
E ko pepa yo loboko ekati ngambo / NA HAPO NDIPO UTAACHWA SOLEMBA
Moleki nzela ye wana a ké / MPITA NJIA HUYO KAENDA ZAKE
Ko linga pasii eh / NI SHIDA SANA KUPENDA
Na lingaka ba ninga ba trahir nga / NILITOKEA KUPENDA, ILA NIKAJA KUSALITIWA

Bolingo pasi eh / MAPENZI YANAMATATIZO
Na libala ba futi nga na infidelité / MALIPO YA NDOA YANGU NIKUSALITIWA
Mbongo ye ye yeh eh mbongo / PESA JAMANI PESA
Na lingaka mbongo na vie nga / MAISHANI MWANGU NILITOKEA KUZIPENDA PESA
Mbongo ye ye yeh eh mbongo / PESA JAMANI PESA
Na lukaka mbongo na vie nga / KATIKA MAISHA YANGU NILIKUA MTAFUTAJI MZURI WA PESA
Mbongo elakisi ngayi infidélité / PESA YANIFUNZA NJIA YA UZINZI
Lelo na poche na nga lobi ya beverly / LEO HII PESA ZA JAA MFUKONI MWANGU
Lobi na poche ya Tedy Kinsala / KESHO ZITAKUA MFUKONI MWA TEDDY KINSALA
Lobi kuna na poche ya franck mupezo / KESHO KUTWA MFUKONI MWA FRANCK MUPEZO
Lobi kuna na poche ya Guy Mayolase / SIKU ITAKAYO FWATIA MFUKONI MWA GUY MAYOLASE

E ko suka na poche ya Pepe Kalé / ZIKAJA KUISHIA MFUKONI MWA PEPE KALLE
Na mema yé na bar a komi kuna a tikali / NAENDA NAZO KWENYE BAR NA ZIKABAKILIA HUKO

A pesi nga masanga abo kozonga ndako / WANANIPA POMBE NA BAADAE NARUDI NYUMBANI PASIPOKUA NA CHOCHOTE MFUKONI

To kendé na zando to koma kuna a tikali / TUENDAPO PIA SOKONI,HUZIACHIA HUKO
A luli ba commerçant abo kozongo ndako / PESA HAZICHOKI KUWATONGOZA WAFANYABIASHARA

Mbongo ye ye yeh eh mbongo eh mbongo eh infidel / PESA YEH PESA EH!!! PESA NDO MSALITI MKUBWA!!!

Dokotolo a pekisi nga lelo masanga likolo ya maladie oh oh …cousin ya commerçant / DOKTA KANIKATAZA NIACHANE NA POMBE KUTOKANA NA MARADHI

Dokotolo a pekisi nga lelo cigarette ba ndeko oyo mibale na tikala na bango / DOKTA KANIKATAZA PIA NISIVUTE TENA SIGARA, NDIZO TATIZO MBILI NINAYO KABILIANA NAYO
Bayé na liaka na bango to salaka sekelé kaka bango lisusu ba trahir nga /WALE AMBAO TULIKUA TUKICHANGIA CHAKULA KWA PAMOJA,WALE AMBAO NI WATU WANGU WA KARIBU,NI WAO WAKWANZA KUNISALITI

Ba famille na ba ninga oyo na salisaka soki na zangi ba ko ndima ngai té oh / FAMILIA YANGU, PAMOJA NA MARAFIKI AMBAO NILIKUA NIKIWASAIDIA,WANANIDHARAU KWAKUA LEO HII MIMI MASKINI

Bakanisi ko yebana ezali nde mbongo / KWA WAO HUFIKIRIA UNDUGU NI PESA
Koyebana eeeh eh / UNDUGU EEEH
Koyebana ezali ndé ngambo / KUMBE KUFAHAMIKA KUNA TAABU YAKE
Ba ninga basangisi eh / MARAFIKI ZANGU UUNGANA
Basangisi lokumu na nga na mbongo / NA HUSHINDWA KABISA KUTOFAUTISHA HESHIMA YANGU NA PESA

Dokotolo eh Ingila eh / NAMUOMBA DOKTA AJE
Na lingaka masanga e boteli nga maladie / MWANZONI NILIKUA MTUMIAJI MKUBWA WA POMBE, LEO HII YANILETEA MARADHI

Cigarette ndenge moko na lingaka ciagarette e bebisi nga santé / NILIKUA PIA MVUTAJI MZURI WA SIGARA,LEO HII YANILETEA MATATIZO YA AFYA
Na tikala eh ngamoko na mokili / NABAKI MPWEKE,PEKE YANGU ULIMWENGUNI
Lokola moyi e botama na ndeko te / NIPO KAMA JUA LILIVYO,HUZALIWA PASIPOKUA NA NDUGU

Maladie eh yo ko tungisa nga / UGONJWA HUU AMBAO WAENDELEA KUNISUMBUA
Ba ko kundu nga na yo libulu moko / TUTAZIKWA WOTE KWENYE KABURI MOJA
Maladie oko niokolo nga / MAGONJWA HAYA YANAYO NITATIZA

To ko kendé nga na yo sanduku moko maladie / TUTAWEKWA WOTE KWENYE SANDUKU MMOJA, MARADHI !!!

merci mingi watu wangu

Post a Comment

AddThis

 
Top