0
KOCHA wa AC Milan, Filippo Inzaghi anasema klabu hiyo ya San Siro inatakiwa kuboreshwa idara zote kama inataka kuingia kwenye ushindani msimu wa 2014/2015.
Milan walifungwa mabao 5-1 na Manchester City katika mchezo wa kirafiki siku ya jumapili baada ya kupoteza mechi nyingine kwa mabao 3-0 dhidi ya Olympiacos na Inzaghi amegundua kuwa wanakabiliwa na kazi kubwa kuiboresha timu kabla ya kuanza msimu mpya wa ligi.
“Hili lipo mbele ya macho ya kila mtu kwamba tunatakiwa kujiboresha idara zote. Hatujafanya vizuri, tunatokea katika nafasi ya nane msimu uliopita. Tunatakiwa kujiboresha mno,” Inzaghi aliiambia tovuti rasmi ya Milan.
“Hatukucheza vibaya sana dakika 10 za mwanzo. Tulicheza vizuri kwenye umilikaji wa mpira na tulipopoteza mpira tulikosa mipango kabisa. Niliumia kwasababu tulifungwa mabao mawili wakati tayari tulishatengeneza nafasi”.
“Bila mpira tulikuwa wabovu, tunatakiwa kupambana zaidi tunapopoteza mpira. Nahitaji kuona uwezo zaidi wakati hatuna mpira,”.
“Kazi pekee ndio itatufanya tuingie katika ushindani mapema. Ni kazi yangu kuiangalia tena mechi hii halafu kumuomba kila mtu anayehusika. Nadhani tutakapokuwa kundi lililokamilika, tutaweza kuwa washindani katika ligi”.
“Nimechukia sana kwasababu kama kiwango ndio hiki, lawama zote ni kwangu na wenzangu, lazima turekebishe. Tutarudi katika mstari wetu. Tunatakiwa kufungwa mabao machache. Lazima tujiboreshe juu ya hili”.
Inzaghi siku za karibuni alitajwa kuwa kocha wa Milan baada ya Clarence Seedorf kufukuzwa kazi mwishoni mwa msimu wa 2013/2014.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=4218#sthash.x4fJwS1U.dpuf
KOCHA wa AC Milan, Filippo Inzaghi anasema klabu hiyo ya San Siro inatakiwa kuboreshwa idara zote kama inataka kuingia kwenye ushindani msimu wa 2014/2015.
Milan walifungwa mabao 5-1 na Manchester City katika mchezo wa kirafiki siku ya jumapili baada ya kupoteza mechi nyingine kwa mabao 3-0 dhidi ya Olympiacos na Inzaghi amegundua kuwa wanakabiliwa na kazi kubwa kuiboresha timu kabla ya kuanza msimu mpya wa ligi.
“Hili lipo mbele ya macho ya kila mtu kwamba tunatakiwa kujiboresha idara zote. Hatujafanya vizuri, tunatokea katika nafasi ya nane msimu uliopita. Tunatakiwa kujiboresha mno,” Inzaghi aliiambia tovuti rasmi ya Milan.
“Hatukucheza vibaya sana dakika 10 za mwanzo. Tulicheza vizuri kwenye umilikaji wa mpira na tulipopoteza mpira tulikosa mipango kabisa. Niliumia kwasababu tulifungwa mabao mawili wakati tayari tulishatengeneza nafasi”.
“Bila mpira tulikuwa wabovu, tunatakiwa kupambana zaidi tunapopoteza mpira. Nahitaji kuona uwezo zaidi wakati hatuna mpira,”.
“Kazi pekee ndio itatufanya tuingie katika ushindani mapema. Ni kazi yangu kuiangalia tena mechi hii halafu kumuomba kila mtu anayehusika. Nadhani tutakapokuwa kundi lililokamilika, tutaweza kuwa washindani katika ligi”.
“Nimechukia sana kwasababu kama kiwango ndio hiki, lawama zote ni kwangu na wenzangu, lazima turekebishe. Tutarudi katika mstari wetu. Tunatakiwa kufungwa mabao machache. Lazima tujiboreshe juu ya hili”.
Inzaghi siku za karibuni alitajwa kuwa kocha wa Milan baada ya Clarence Seedorf kufukuzwa kazi mwishoni mwa msimu wa 2013/2014.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=4218#sthash.x4fJwS1U.dpuf
KOCHA wa AC Milan, Filippo Inzaghi anasema klabu hiyo ya San Siro inatakiwa kuboreshwa idara zote kama inataka kuingia kwenye ushindani msimu wa 2014/2015.
Milan walifungwa mabao 5-1 na Manchester City katika mchezo wa kirafiki siku ya jumapili baada ya kupoteza mechi nyingine kwa mabao 3-0 dhidi ya Olympiacos na Inzaghi amegundua kuwa wanakabiliwa na kazi kubwa kuiboresha timu kabla ya kuanza msimu mpya wa ligi.
“Hili lipo mbele ya macho ya kila mtu kwamba tunatakiwa kujiboresha idara zote. Hatujafanya vizuri, tunatokea katika nafasi ya nane msimu uliopita. Tunatakiwa kujiboresha mno,” Inzaghi aliiambia tovuti rasmi ya Milan.
“Hatukucheza vibaya sana dakika 10 za mwanzo. Tulicheza vizuri kwenye umilikaji wa mpira na tulipopoteza mpira tulikosa mipango kabisa. Niliumia kwasababu tulifungwa mabao mawili wakati tayari tulishatengeneza nafasi”.
“Bila mpira tulikuwa wabovu, tunatakiwa kupambana zaidi tunapopoteza mpira. Nahitaji kuona uwezo zaidi wakati hatuna mpira,”.
“Kazi pekee ndio itatufanya tuingie katika ushindani mapema. Ni kazi yangu kuiangalia tena mechi hii halafu kumuomba kila mtu anayehusika. Nadhani tutakapokuwa kundi lililokamilika, tutaweza kuwa washindani katika ligi”.
“Nimechukia sana kwasababu kama kiwango ndio hiki, lawama zote ni kwangu na wenzangu, lazima turekebishe. Tutarudi katika mstari wetu. Tunatakiwa kufungwa mabao machache. Lazima tujiboreshe juu ya hili”.
Inzaghi siku za karibuni alitajwa kuwa kocha wa Milan baada ya Clarence Seedorf kufukuzwa kazi mwishoni mwa msimu wa 2013/2014.


KOCHA wa AC Milan, Filippo Inzaghi anasema klabu hiyo ya San Siro inatakiwa kuboreshwa idara zote kama inataka kuingia kwenye ushindani msimu wa 2014/2015.

Milan walifungwa mabao 5-1 na Manchester City katika mchezo wa kirafiki siku ya jumapili baada ya kupoteza mechi nyingine kwa mabao 3-0 dhidi ya Olympiacos na Inzaghi amegundua kuwa wanakabiliwa na kazi kubwa kuiboresha timu kabla ya kuanza msimu mpya wa ligi.

“Hili lipo mbele ya macho ya kila mtu kwamba tunatakiwa kujiboresha idara zote. Hatujafanya vizuri, tunatokea katika nafasi ya nane msimu uliopita. Tunatakiwa kujiboresha mno,” Inzaghi aliiambia tovuti rasmi ya Milan.

“Hatukucheza vibaya sana dakika 10 za mwanzo. Tulicheza vizuri kwenye umilikaji wa mpira na tulipopoteza mpira tulikosa mipango kabisa. Niliumia kwasababu tulifungwa mabao mawili wakati tayari tulishatengeneza nafasi”.

“Bila mpira tulikuwa wabovu, tunatakiwa kupambana zaidi tunapopoteza mpira. Nahitaji kuona uwezo zaidi wakati hatuna mpira,”.

“Kazi pekee ndio itatufanya tuingie katika ushindani mapema. Ni kazi yangu kuiangalia tena mechi hii halafu kumuomba kila mtu anayehusika. Nadhani tutakapokuwa kundi lililokamilika, tutaweza kuwa washindani katika ligi”.

“Nimechukia sana kwasababu kama kiwango ndio hiki, lawama zote ni kwangu na wenzangu, lazima turekebishe. Tutarudi katika mstari wetu. Tunatakiwa kufungwa mabao machache. Lazima tujiboreshe juu ya hili”.

Inzaghi siku za karibuni alitajwa kuwa kocha wa Milan baada ya Clarence Seedorf kufukuzwa kazi mwishoni mwa msimu wa 2013/2014.

Post a Comment

AddThis

 
Top