0

Marehemu Mez B ni staa wa bongofleva kutokea kundi la Chemba Squad alilojiunga nalo mwaka 2002 akiwa na wenzake kama Marehemu Ngwea, Dark Master na Noorah.
Video hii hapa chini ndio inaonyesha kwa ufupi safari yake ya mwisho ilivyokuwa Dodoma mpaka kwenye makaburi ya Maili mbili.

<iframe width="560" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/7hDFrUx5mi8" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>

Post a Comment

AddThis

 
Top