0
MABINGWA wa England, Manchester City wamepangwa kundi moja na mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa Ulaya pamoja na CSKA Moscow na Roma, wakati Liverpool wao wamepangwa na mabingwa watetezi, Real Madrid.
Mabingwa mara tano Ulaya, Liverpool mbali na kupangwa na mabingwa mara 10 wa taji hilo, Real pia wapo na Basle na Ludogorets.
Arsenal, imepangwa na Borussia Dortmund pamoja na Galatasaray na Anderlecht katika Kundi D, wakati Chelsea imepangwa na imepangwa na wakali wengine wa Ujerumani, Schalke, Sporting Lisbon na Maribor.
Usikose uchambuzi makini wa makundi yote katika mtandao huu. Yafuatayo ni makundi yote nane ya michuano hiyo msimu wa 2014/15
KUNDI A
Atletico Madrid
Juventus
Olympiakos
Malmo
KUNDI B
Real Madrid
Basle
LIVERPOOL
Ludogorets
KUNDI C
Benfica
Zenit St Petersburg
Bayer Leverkusen
Monaco
KUNDI D
ARSENAL
Borussia Dortmund
Galatasaray
Anderlecht
KUNDI E
Bayern Munich
MANCHESTER CITY
CSKA Moscow
Roma
KUNDI F
Barcelona
Paris St-Germain
Ajax
Apoel Nicosia
KUNDI G
CHELSEA
Schalke
Sporting Lisbon
Maribor
KUNDI H
Porto
Shakhtar Donetsk
Athletic Bilbao
Bate Borisov
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=5605#sthash.3maJ8uii.dpuf
MABINGWA wa England, Manchester City wamepangwa kundi moja na mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa Ulaya pamoja na CSKA Moscow na Roma, wakati Liverpool wao wamepangwa na mabingwa watetezi, Real Madrid.
Mabingwa mara tano Ulaya, Liverpool mbali na kupangwa na mabingwa mara 10 wa taji hilo, Real pia wapo na Basle na Ludogorets.
Arsenal, imepangwa na Borussia Dortmund pamoja na Galatasaray na Anderlecht katika Kundi D, wakati Chelsea imepangwa na imepangwa na wakali wengine wa Ujerumani, Schalke, Sporting Lisbon na Maribor.
Usikose uchambuzi makini wa makundi yote katika mtandao huu. Yafuatayo ni makundi yote nane ya michuano hiyo msimu wa 2014/15
KUNDI A
Atletico Madrid
Juventus
Olympiakos
Malmo
KUNDI B
Real Madrid
Basle
LIVERPOOL
Ludogorets
KUNDI C
Benfica
Zenit St Petersburg
Bayer Leverkusen
Monaco
KUNDI D
ARSENAL
Borussia Dortmund
Galatasaray
Anderlecht
KUNDI E
Bayern Munich
MANCHESTER CITY
CSKA Moscow
Roma
KUNDI F
Barcelona
Paris St-Germain
Ajax
Apoel Nicosia
KUNDI G
CHELSEA
Schalke
Sporting Lisbon
Maribor
KUNDI H
Porto
Shakhtar Donetsk
Athletic Bilbao
Bate Borisov


MABINGWA wa England, Manchester City wamepangwa kundi moja na mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa Ulaya pamoja na CSKA Moscow na Roma, wakati Liverpool wao wamepangwa na mabingwa watetezi, Real Madrid.

Mabingwa mara tano Ulaya, Liverpool mbali na kupangwa na mabingwa mara 10 wa taji hilo, Real pia wapo na Basle na Ludogorets.
Arsenal, imepangwa na Borussia Dortmund pamoja na Galatasaray na Anderlecht katika Kundi D, wakati Chelsea imepangwa na imepangwa na wakali wengine wa Ujerumani, Schalke, Sporting Lisbon na Maribor.
Usikose uchambuzi makini wa makundi yote katika mtandao huu. Yafuatayo ni makundi yote nane ya michuano hiyo msimu wa 2014/15
KUNDI A
Atletico Madrid
Juventus
Olympiakos
Malmo
KUNDI B
Real Madrid
Basle
LIVERPOOL
Ludogorets
KUNDI C
Benfica
Zenit St Petersburg
Bayer Leverkusen
Monaco
KUNDI D
ARSENAL
Borussia Dortmund
Galatasaray
Anderlecht
KUNDI E
Bayern Munich
MANCHESTER CITY
CSKA Moscow
Roma
KUNDI F
Barcelona
Paris St-Germain
Ajax
Apoel Nicosia
KUNDI G
CHELSEA
Schalke
Sporting Lisbon
Maribor
KUNDI H
Porto
Shakhtar Donetsk
Athletic Bilbao
Bate Borisov

Post a Comment

AddThis

 
Top