0



Hii ndio ilikuwa kamati iliyoratibu tuzo hizo :Zamoyoni Mogella ( Mwenyekiti ), Kenny Mwaisabula ( Kaimu katibu ), na wajumbe Shaffih Dauda, Boniface Wambura,Edo Kumwembe na Doris Malyaga.

Godfrey Nyange akimkabidhi tuzo mwaamuzi bora Oden Mbaga.

Zamoyoni Mogella akitoa tuzo ya bao la mwaka kwa mwakilishi wa Thomas Ulimwengu.

Rais wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Leodegar Tenga kushoto akimkabidhi tuzo ya Ufungaji Bora mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche kutoka Ivory Coast katika tuzo za gazeti la Mwanaspoti usiku wa jana ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.



Kiungo wa Simba Amri Kiemba akipokea tuzo ya 11 Bora

  
Niyonzima akikabidhiwa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka
Haruna Niyonzima akikabidhiwa zawadi yake ya kuwa mwanasoka bora wa Tanzania


Haruna Shamte ( kushoto ),Ramadhani Singano pamoja na mdau.





Mazungumzo mbali mbali yakiendelea




Joseph Kimwaga wa Azam Fc ndiye alichukua tuzo ya mwanasoka chipukizi.


Rais wa zamani wa SAFA,Kirsten Nematandani akimpatia tuzo Haruna Niyonzima ya mwanaoka bora wa kigeni wa mwaka.

 Juman Nature akitoa burudani

Rais wa heshima wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wakili Said El Maamry akimkabidhi tuzo ya Mchezaji bora wa Tanzania anayecheza nje, mwakilishi wa mshindi wa tuzo hiyo, Mbwana Samatta wa TP Mazembe ya DRC




Post a Comment

AddThis

 
Top