0
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mahmud amepiga marufuku ya matumizi ya lugha za kigeni katika ofisi za Serikali na kusema kuwa lugha pekee ya mawasiliano itakayotumika katika ofisi hizo ni Kisomali.
Rais Hassan amesema lengo la uamuzi ni kuimarisha lugha hiyo.
Spika wa Bunge la Somalia, Muhammad Sheikh Osman Jawari  amesema  ni jambo muhimu kwa jamii ya wasomali kuelewa umuhimu wa lugha yao.

Post a Comment

AddThis

 
Top