0

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' (wa pili kutoka kushoto), akiwa na madansa wake pamoja na Nay wa Mitego wakitoa burudani katika tamasha la Serengeti Fiesta 2014, Leaders Club jijini Dar.
Madansa wa Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinum wamekamatwa leo wapo kituo cha polisi cha Oyster Bay, Dar kwa kuvaa sare za JWTZ.
 Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul…

Wakati huohuo polisi  wakiendelea kumtafuta bosi wao Nasibu Abudul ' Diamond Platinumz kwa maelezo zaidi kutokana na kuvaa sare za Jeshi la Wananchi (JWTZ) katika tamasha la Serengeti Fiesta Leaders Club, Dar usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita, hawajampata.
Mwandishi wetu alimtafuta Meneja wa  Diamond aitwaye Babu Tale kwenye simu bila mafanikio.
(HABARI NA MUSA MATEJA/GPL)

Post a Comment

AddThis

 
Top