Kama ulimis kuona hat trick ya Welbeck jana – nimekuwekea video ya magoli hapa
Akiitumikia klabu yake ya Arsenal kwa mara ya pili kwenye michuano hiyo, Welbeck aliungana na washambuliaji Mike Newell, Andy Cole (mara mbili), Alan Shearer, Owen (mara mbili) and Rooney – kuwa wachezaji pekee raia wa Uingereza ambao wamewahi kufunga hat trick katika michuano ya ulaya.
Magoli yake matatu yaliisaidia Arsenal kushinda 4-1
Arsenal vs Galatasaray 4-1 All Goals... by imidzs24lmno
ARSENAL VS GALATASARY 4-1 ALL GOALS
Post a Comment