Kama alivyo tamka Mwenyewe JB MPIANA PAPA CHERI MOTO PAMBA, Album ” LES FEUX DE L’AMOUR ” yaendelea kumletea kipato hadi leo, wala hawezi kufa na Njaa. Album iliopokelewa vizuri sana na kupewa tuzo kadhaa !!!
Leo hii nagusia kidogo Generic ” NDOMBOLO ” iliochezesha Ulimwengu Mzima.Nakulipa jina Muziki wa Congo!!!
Izingatiwe kwamba Ingawa Mzozo wa chini kwa chini ulikuwepo tayari kwenye Group WENGE MUSICA ASILIA, Ujio wa Album Solo ya JB MPIANA ” LES FEUX DE L’AMOUR ” ulidhihirisha kutoweka kwa maelewano kati ya Viongozi wa Group hilo. Hadi pale Orchestra WENGE MUSICA 4×4 Kusambaratika Mwaka 1997.
Staff ya Waimbaji ilikua kama ifwatayo :
- JB Mpiana
- Werrason
- Blaise Bula
- Adolphe Dominguez
- Alain Mpela
- Aimelia Liass
- Ma reppa walikua :
- Tutu Caludji
- Roberto Wunda
- kwenye Gita Mtawakuta :
- Alain Makaba
- Ficarré Mwamba
- Burkina Faso Mboka Liya
- Japonais Kambuku Maladi
- Fiston Zamuangana Savimpi
- Patient Kusangila
- Bass Guitar:
- Didier Massela
- Christian Mwepu
- Percussion:
- Ali Mbonda
- Kwenye Bettry :
- Titina Mbwinga
- Papa Wemba na Mimi Ciel
- Al Nzimbi
- Thierry Galion
Post a Comment