0
Fundi: Angel Di Maria aliichezea  Real Madrid dhidi ya  Atletico Madrid  katika mechi ya Super Cup 

MANCHESTER United wanakaribia kukamilisha usajili ghali wa Muargentina, Angel Di Maria kwa paundi milioni 60.
Uhamisho huo ukikamilika utavunja rekodi ya klabu hiyo katika usajili.
United wamekuwa wakifuatilia dili la nyota huyo wa Real Madrid kwa muda mrefu na inafahamika kuwa wametoa ofa ya mshahara wa paundi laki mbili kwa wiki.
kwa sasa inafahamika kuwa Di Maria imewaambia United kuwa atakuja Old Trafford na sasa klabu hiyo ipo katika mazungumzo ya kukubaliana ada ya uhamisho na Real madrid
Kiwango cha juu: Di Maria anatarajia kujiunga na Manchester United kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 60 na mshahara wa paundi laki mbili kwa wiki.  
Kifaa cha ukweli: Gary Neville anaamini kuwa Di Maria ndio aina ya wachezaji wanaotakiwa kusajiliwa na Manchester United
Kiwango cha juu: Di Maria anatarajia kujiunga na Manchester United kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 60 na mshahara wa paundi laki mbili kwa wiki.  - See more at: http://shaffihdauda.com/?p=5538#sthash.KHoYFfop.dpuf

Post a Comment

AddThis

 
Top