0




 
 
Mzigo wa kilo 300



Hakuna jambo lisilowezekana - labda hayo ni mawazo yangu lakini ukiangalia pich na jinsi mzigo ulivyo utaona kabisa kuwa kukosa gari sio mwisho wa kubeba kilo mia 300 kwenye baiskel,hapo hakuna tena kuendesha,ni kuisukuma baiskeli. Amefunga kamba kwenye usukani ili aweze kuiongoza baiskeli yake vizuri 



                             kama unavoona mizigo inabebwa kama kawaida


Mara nyingi watu wanahitaji muda wa masaa mengi kwenda shuleni au kwenda kuchota maji, kutafuta kuni au chakula. Katika maeneo mengi hakuna usafiri wa umma, magari yanauzwa kwa bei kubwa sana. Hivyo wakati mwingine watu wanashindwa kusafirisha bidhaa zao. Lakini mkulima huyu amepata suluhisho. Anaweza kupeleka bidhaa zake sokoni kwa kutumia baiskeli.
                               

                             hapa kuku wanafika sokoni bila tatizo 

Usukani wa baiskeli unaweza kubeba kuku wangapi?Wakati mwingine anauza baadhi ya kuku wake njiani. Lakini nia yake ni kuwapeleka sokoni ambapo watu huuza bidhaa freshi. Ndiyo maana kuku hawa hawajachinjwa.

             

                                    Mee, mee

Mbuzi hawa wamebananishwa kweli! Mmiliki wao anawapeleka mnadani. Bei ya mbuzi ni makubaliano




                          baba na familia yake hiyoooo


Huyu baba hana familia yake hana gari lakini kama kawaida wanakwenda wanapopataka na wanafika bila tatizo  






                   Mambo ya kukata kiu na vinywaji laini kama soda                                                hizo zinapelekwa dukani 

Mtu anayemiliki duka bila kuwa na gari la kusafirishia mizigo lazima atafute mbinu ya kubeba bidhaa mpya kwa ajili ya duka lake. Nchini Tanzaniabidhaa hizo hutolewa mijini na kupelekwa sehemu za ndani kabisa vijijini.
                       
 KWA STYLE HII BAISKELI NI USAFIRI TOSHA

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

AddThis

 
Top