Hii sio noma ya kwanza kukutana nayo, unaambiwa toka jamaa arudi home ni kama kuna wadeni kibao ambao wamekuwa wakimtafuta ili wamalizane naye, ipo kampuni ya masuala ya IT ambayo pia ilisema kwamba ‘the Coco Master’ ni mdeni wao.
Mfanyabiashara Henry Ojogho ni mdeni mpya, anamdai jamaa zaidi ya Naira mil. 60, tayari amefungua kesi Mahakamani na barua ya Mahakama kwa D’Banj iko njiani kumfikia muda wowote.
Post a Comment