Maajabu:Kiungo wa Wolfsburg, Junior Malanda alikosa bao la wazi dhidi ya Bayern Munich jana usiku.
NYOTA wa Wolfsburg, Junior Malanda ameingia kwenye rekodi ya kukosa bao la wazi zaidi na kusababisha timu yake kufungwa.
Wakikabiliana na mabingwa watetezi, Bayern Munich katika mchezo wa ufunguzi wa Bundesliga, kiungo huyo wa ulinzi mwenye miaka 19 alishindwa kumfunga Manuel Neuer baada ya kufanikiwa kumuacha na kubaki yeye na goli, lakini alichofanya ni ajabu.Tazama picha.
Rahisi tu!: Malanda alikuwa kwenye karibu na mstari wa goli na kutakiwa kusawazisha kiulaini, lakini alikosa
Alikosaje? Kiungo wa Wolfsburg alikosa bao akiwa yeye na kipa
Majanga: Malanda haamini kilichotokea
Mikono kichwani: Malanda akijilaumu baada ya kukosa goli la wazi.
Post a Comment