0
Bondia Sadick Nuru kushoto akioneshana umwamba na Baraka Mchonge wakati wa mpambano wao ulifanyika Manzese Dar es salaam wakati wa sikukuu ya iddi pili.  Nuru alishinda kwa point mpambano huo

Bondia Stevin Kobelo kushoto akirusha ngumi kumpiga Karim Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika siku ya iddi pili katika ukumbi wa Manyara park manzese Dar es salaam,  mpambano huo walitoka droo ya kufungana point 
Mabondia Joseph Gili kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Tamba wakati wa mpambano wao uliofanyika siku ya Iddi pili katika ukumbi wa manyara park manzese Dar es salaam , Tamba alishinda kwa T.K.O  ya raundi ya nne
Kocha mkongwe wa mchezo wa masumbwi nchini Habibu Kinyogoli ‘Masta’ kulia akimvisha mkanda wa ubingwa bondia Ramadhani Kumbele baada ya kumdunda Julius Kisalawe kwa point kushoto ni Refarii Ally Bakari

Post a Comment

AddThis

 
Top