Msanii Mkali toka Nigeria J martins usiku wa jana alimtunuku Msanii Ommy Dimpoz kwa kumzawadia Cheni yenye thamani ya usd 10,000,Ikiwa Msanii Huyo alikuwa Akisherehekea Siku yake ya kuzaliwa na pia ilikuwa ikifanyika uzinduzi wa Video ya bila kukunja Goti! ambapo Mkali J Martis Kutoka nigeria aliyekuwa akiendesha Shughuli Hiyo nzima kama Msema Chochote Pale kwa Stage
Check picha jinsi ilivyokuwa
Jay matins kabla hajamkabidhi Ommy Dimpoz mkufu
Ommy dimpoz,Ay na Fa
Ommy na mkufu wake aliyozawadiwa na Jmatins
Post a Comment